Waziri wa ulinzi auwawa kwa risasi
Waziri wa kazi za umma na ujenzi Abbas Siraj amepigwa risasi na kuuawa baada ya vikosi vya serikali kummiminia risasi wakati akaiwa kwenye gari lake mjini Mogadishu nchini Somalia.
Kwa mujibu wa habari,mashambulizi hayo yamefanywa mbele ya ikulu ya rais,wakati waziri huyo akitoka katika shughuli zake.
Mkuu wa polisi wa eneo hilo amesema kuwa waziri aliyeuawa alishambuliwa na vikosi hivyo vya serikali wakati yumo ndani ya gari lake katika wilaya ya Warta Nabada.
Abbas Siraj,mwenye umri wa miaka 31 ndiye alikuwa waziri mdogo kuliko wote serikalini.
Siraj alikulia Dadab,kambi kubwa ya wakimbizi nchini Kenya .
Siraj alichaguliwa kwa kura za ndio katika jimbo la Jubaland nchini Somalia.
Waliohusika na shambulizi hilo kuchukuliwa hatua.
JIUNGE NASI AKISI TV KILA SIKU KUPATA HABARI ZA UHAKIKA Nini maoni yako? Weka comment yako hapa,
Kwa mujibu wa habari,mashambulizi hayo yamefanywa mbele ya ikulu ya rais,wakati waziri huyo akitoka katika shughuli zake.
Mkuu wa polisi wa eneo hilo amesema kuwa waziri aliyeuawa alishambuliwa na vikosi hivyo vya serikali wakati yumo ndani ya gari lake katika wilaya ya Warta Nabada.
Abbas Siraj,mwenye umri wa miaka 31 ndiye alikuwa waziri mdogo kuliko wote serikalini.
Siraj alikulia Dadab,kambi kubwa ya wakimbizi nchini Kenya .
Siraj alichaguliwa kwa kura za ndio katika jimbo la Jubaland nchini Somalia.
Waliohusika na shambulizi hilo kuchukuliwa hatua.
JIUNGE NASI AKISI TV KILA SIKU KUPATA HABARI ZA UHAKIKA Nini maoni yako? Weka comment yako hapa,
No comments