-->

Header Ads

Odinga aitisha maandamano siku ya uchaguzi wa marudio

 
Kinara wa upinzanik nchini Kenya Raila Odinga ameitisha maandamano ya nchi nzima siku ya zoezi la upigaji kura kwenye uchaguzi wa rais wa Marudio uliopangwa kufanyika Octoba 26.

Odinga anasema siku hiyo hakutakuwa na uchaguzi kwa kile alichosema ni tume ya uchaguzi IEBC kushindwa kufanya mabadiliko yanayotakiwa kama ilivyoagizwa na mahakama ya juu.





KWA HABARI ZA HIVI PUNDE TANZANIA LEO jiunge na AKISITV na www.akisitv.com updates zote utazikuta humu

No comments

Powered by Blogger.