-->

Header Ads

#BREAKING: Mzazi mwenza wa Zari The Boss Lady amefariki dunia





BREAKING NEWS: Mume wa zamani wa zari, ivan SEMWANGA amefariki dunia usiku wa kuamkia leo saa chache tu..
Hili limethibitishwa nae zari hassan kupitia ukurasa wake wa instagram na kuandika maneno haya..

God loves those that are special and that's exactly who you were & I guess that's why he wanted you to himself. You have touched and helped thousands, you did wonders and I remember you telling me "life is too short let me live it to the fullest", this very dark hour it makes sense why you always said those words to me. To your sons, you were a hero-some kind of superman. Anyone who has ever been in your presence knows what a charming person you were. You will be missed and remembered in so many ways. You were IVAN THE GREAT! Rest in peace DON


Awali taarifa za uzushi zilienea kuhusu kifo hiki baada ya kuona kuwa afya ya tajiri huyo kuwa mbaya zaidi, ikamlazimu zari kukanusha uvumi huo na badala yake akasema kuwa hali ni mbaya japo kifo kilikua bado hakijamfika ivan, 
Na mambo ndivyo yalivyokuwa... Hatua kwa hatua... 

Zari's Ex-Hubby, Ivan Semwanga's, condition critical

Updated:3:30PM

Zari Hassan - "It's sad that people are announcing Ivan dead. He is still alive and critical. More prayers please. Thank you."
Zuleha Hassan - "Ivan is not dead, but in critical condition. All we need are yo prayers."

It's been 11 days from the time Ivan Semwanga was admitted at Steve Biko Academic Hospital, but this morning, his condition became worse. The latest information from down south indicates that the Rich Gang President is in a critical condition, close family members have been called in.

Earlier:11:58 AM

His last post on IG was a week back and now, it's flooded with RIP messages from the whole of East Africa.


JIUNGE NASI AKISI TV KILA SIKU KUPATA HABARI ZA UHAKIKA Nini maoni yako? Weka comment yako hapa,

No comments

Powered by Blogger.