-->

Header Ads

ORODHA KAMILI WALIOCHUKUA TUZO LIGI KUU HII HAPA, TSHABALALA AMPIKU MSUVA.. NIYONZIMA NAE KACHUKUA.

Sherehe za Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania zimefanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Mlimani City, huku tuzo 15 zikitolewa kwa wachezaji, viongozi wa mpira mguu nchini.
Ikiwa tofauti na msimu uliopita, msimu huu umeshuhudia vipengele vya tuzo vikiongezeka na kufanya kuwepo kwa tuzo nyingi zaidi.

Waliopata tuzo ni;

Bingwa wa Ligi Kuu – Yanga ( milioni 84)

Mshindi wa pili – Simba (milioni 42)

Mshindi wa tatu – Kagera Sugar (milioni 30)

Mshindi wa nne – Azam FC (milioni 24)

Timu yenye Nidhamu – Mwadui FC (milioni 17.5)

Mwamuzi Bora – Hery Sasii

Mlinda mlango bora – Aishi Salum

Mchezaji anayechipukia – Mbaraka Yusuph

Mchezaji wa kigeni – Haruna Niyozima

Goli bora la msimu – Shiza Kichuya

Mfungaji bora – 14 Saimon Msuva (Yanga), 14 Abdulrahman Mussa (Ruvu Shooting)

Tuzo ya Ismail Khalfan U20 – Shaban Idd Chilunda (Azam FC)

Tuzo ya heshima – Sunday Manara (mchezaji wa zamani Yanga na Taifa Stars)

Kocha Bora – Mecky Maxime

Mchezaji bora – Mohamed Hussein Zimbwe Jnr

No comments

Powered by Blogger.