-->

Header Ads

Huyu Hapa Mchezaji Bora wa Msimu Manchester United

Kiungo Mhispania Ander Herrera ametangazwa kuwa mchezaji bora wa msimu huu. Herrera ameshinda tuzo hiyo mbele ya Antonio Valencia na Zlatan Ibrahimovic ambao walikuwa wanawania tuzo hiyo pia. Tuzo ya mchezaji bora wa msimu hupigiwa kura na mashabiki wa Manchester United duniani kote.


Antonio Valencia ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Msimu katika kura zilizopigwa nawachezaji wenzake wa Manchester United.

Katika usiku wa tuzo hizo, Henrik Mkhitaryan ameshinda tuzo ya goli bora la msimu kwa "Scorpion Kick" alilofunga dhidi ya Sunderland kwenye mechi iliyochezwa pale Old Trafford Desemba, mwaka jana.


Hili hapa goli lililompa Mkhitaryan tuzo ya goli bora.


JIUNGE NASI AKISI TV KILA SIKU KUPATA HABARI ZA UHAKIKA

 Nini maoni yako? Weka comment yako hapa,

No comments

Powered by Blogger.