BREAKING NEWS: BASI LA ALLYS LAGONGANA NA COSTA SHINYANGA ASUBUHI HII
Taarifa zilizotufikia hivi sasa ambazo hata hivyo bado hazijathibitishwa na vyombo vyenye dhamana isipokuwa mashuhuda wa ajali hiyo zinaarifu kuwa kumetokea ajali mkoani shinyanga.
Taarifa hiyo hii hapa..
AJALI MBAYA IMETOKEA ASUBUHI HII SHINYANGA ENEO LA KIZUMBI MBUYUNI KWENYE KONA....BASI LA ALLYS TOKA MWANZA LIMEGONGANA NA COSTA YA ISANZU TOKA KAHAMA
No comments