-->

Header Ads

DODOMA: Vigogo UKAWA Watimkia CCM

DODOMA: Katika mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amepokelewa Moses Machali Mbunge wa zamani wa Kasulu Mjini kwa Tiketi ya NCCR- Mageuzi.
Moses Machali
Aidha Said Arfi naye ametangaza kujiunga na CCM na wamepokelewa leo rasmi katika mkutano uliyofanyika mjini Dodoma.
VIDEO MKUTANO MKUU WA CCM NEC DODOMA

No comments

Powered by Blogger.