-->

Header Ads

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) yateua wabunge nane CUF

Tume ya Uchaguzi (NEC) imefanya uteuzi wa wabunge nane wa viti Maalum kupitia (CUF) baada ya Tume hiyo kupokea barua kutoka kwa spika wa Bunge Ndugai ambaye alisema kuna nafasi za wazi nane katika bunge hilo kufuatia wabunge hao kuvuliwa uanachama




JIUNGE NASI AKISI TV KILA SIKU KUPATA HABARI ZA UHAKIKA Nini maoni yako? Weka comment yako hapa,

No comments

Powered by Blogger.