-->

Header Ads

MREMBO Sanchi Kugeukia Kilimo cha Nafaka....


VIDEO queen mwenye umbo matata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ ameweka wazi dhamira yake ya kujitosa kwenye biashara ya kilimo cha nafaka mbalimbali. 
Sanchi aliiambia 3-Tamu kuwa, hivi karibuni anafikiria kujiingiza kwenye kilimo am­bacho anaamini kina mafanikio makubwa ingawa wengi wa­naona ni kazi ya kishamba. “Urembo nauweka kando kwa muda kwanza ili ni­jikite zaidi kweye kilimo, nimeo­na kuna fursa kubwa ukizingatia warembo wengi wanachukulia kilimo kama biashara ya wa­shamba,” alisema Sanchi.


Tutumie maoni yako kuboresha AKISITV, weka comment yako hapo chini, akisi tv hairuhusu lugha ya matusi..  

No comments

Powered by Blogger.