TETESI: DIEGO COSTA KUTUA CHINA KWA MKOPO?
ATLET KUMPELEKA COSTA CHINA KWA MKOPO
Mipango ya Atletico Madrid kuinasa saini ya Diego Costa inaweza kumpeleka China kwa mkopo hadi watakapoweza kumsajili, limeripoti Mirror .
Klabu hiyo ya La Liga ipo tayari kuzungumza na mshambuliaji huyo wa Chelsea, lakini uwezo wao wa kifedha kumsajili unawaruhusu tu kumpeleka kwa mkopo hadi adhabu yao ya kufungiwa itakapoisha Januari.
Mipango ya Atletico Madrid kuinasa saini ya Diego Costa inaweza kumpeleka China kwa mkopo hadi watakapoweza kumsajili, limeripoti Mirror .
Klabu hiyo ya La Liga ipo tayari kuzungumza na mshambuliaji huyo wa Chelsea, lakini uwezo wao wa kifedha kumsajili unawaruhusu tu kumpeleka kwa mkopo hadi adhabu yao ya kufungiwa itakapoisha Januari.

No comments