-->

Header Ads

Utajuaje iwapo mgonjwa wako ana karibia kufa?

Image result for ?

Utajuaje iwapo mgonjwa wako ana karibia kufa
●Mgonjwa hawezi kutoka kitandani anakuwa amelala tu
●Mgonjwa anashindwa kujitambua...anapoamshwa anaitika kwa taabu
●Mgonjwa hawezi kula chakula chochote isopokuwa vyakula vya majimaji tu
●Mgonjwa anashindwa kumeza dawa

JIUNGE NASI AKISI TV KILA SIKU KUPATA HABARI ZA UHAKIKA Nini maoni yako? Weka comment yako hapa,

No comments

Powered by Blogger.