-->

Header Ads

NAPE AWAKINGIA KIFUA WAPINZANI SAKATA LA MCHANGA


Nape Nnauye amepinga vitendo vinavyofanywa na CCM vya kuwabagua watu wa Vyama vya Upinzani na kuwaona ni Wasaliti katika hili swala la Madini na Mchanga unaoshikiliwa. Hili swala halifai na halitatufikisha popote kama taifa. Ni wakati wa kwenda pamoja kwenye hii vita ili tufanikiwe bila kudharau mawazo ya mtu yoyote.

Hii ni vita yetu sote, Tushikamane, hata kama wana hoja, wajibiwe kwa hioja sio matusi. Ameshauri Serikali iangalie kwa makini hili swala ili kuondoa Mashaka.

Amempongeza rais Magufuli kwa kuzuia Mchanga.

Amekosoa pia sela za mapato. nasema mipango yote inalenga kubana na kukamua walipa Kodi.

No comments

Powered by Blogger.