FUMUA FUMUA NDANI YA POLISI, BARAZA LA MAWAZIRI, KILICHOMUUA NDESAMBURO GHAFLA HIKI HAPA, MAGAZETI YOTE YA LEO TANZANIA JUNE MOSI
Msomaji wa akisitv.com habari nyingi sana leo june mosi (1ST JUNE) kwenye kurasa za mbele za magazeti ya Tanzania zimetawaliwa na habari kuhusu kifo cha ghafla cha aliyekuwa mbungu wa moshi mjini kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Philemon Ndesamburo hapo jana katika hospitali ya KCMC kilimanjaro...
JIUNGE NASI AKISI TV KILA SIKU KUPATA HABARI ZA UHAKIKA
Nini maoni yako? Weka comment yako hapa,
No comments