-->

Header Ads

MUONEKANO Mpya wa Idris Sultan WAMPONZA ATUKANWA







Idris Sultan amebadilisha muonekano wake wa sura, muigizaji huyo sasa amepaka ndevu zake rangi ya hudurungi.


Hapo awali Idris hakuwa na mashurubu, alikua anakaa kijana chipukizi bila kuwa na nyweli kwenye mashavu.

Kwa sasa Idris ameamua kupaka ndevu zake rangi, anadai kuwa aliamua kubadilisha muonekano wake wa sura kwasababu alitaka kufanana na Lionel Messi – mshambuliaji wa timu ya Barcelona.





JIUNGE NASI AKISI TV KILA SIKU KUPATA HABARI ZA UHAKIKA Nini maoni yako? Weka comment yako hapa,

No comments

Powered by Blogger.