-->

Header Ads

PICHA: MWILI WA SIR.GEORGE KAHAMA WAAGWA LEO DAR




Viongozi mbalimbali wa Serikali
MARAIS wastaafu, Mzee Mwinyi, Mkapa na Kikwete waongoza kutoa heshima zao za mwisho Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar wakati wa kuuaga mwili wa George Kahama.



Baadhi ya waombolezaji wakiwemo watumishi wa serikali na viongozi mbalimbali walihudhuria

Waziri Mkuu wa Zamani Edward Lowassa akizungumza jambo na mkewe ukumbini hapo

Spika wa Bunge la Serikali ya Awamu ya Nne Anne Makinda wapili kulia akizungumza jambo na muombolezaji.

 

Picha ya Marehemu enzi za Uhai wake

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe

Rais Mstaafu Ndugu Jakaya Kikwete akisamiliana na wafiwa

Waziri mkuu mstaafu Lowassa akitoa heshima zake za mwisho

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe akizungumza jambo.

Rais Mstaafu Mzee Mwinyi akisalimiana na waombolezaji

Mzee Mwinyi akitoa Heshima zake za mwisho

Viongozi Wastaafu wakifuatilia jambo kwa makini


Rais Mstaafu Mwinyi akitoa heshima zake za mwisho

Rais Mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ally Hassan Mwinyi akizungumza jambo mbele ya waombolezaji waliofika ukumbini leo

Rais Mstaafu Benjamini William Mkapa akisalimia waombolezaji

No comments

Powered by Blogger.