-->

Header Ads

Wachimbaji wote wa mgodi wameokolewa baada ya mgodi kuporomoka katika eneo la Nyarugusu wilayani Geita kaskazini mashariki mwa Tanzania.

Wafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania
Image
Wafanyakazi 15 wa mgodi waokolewa Tanzania
Wachimbaji wote wa mgodi wameokolewa baada ya mgodi kuporomoka katika eneo la Nyarugusu wilayani Geita kaskazini mashariki mwa Tanzania.
Jumla ya wachimbaji 15 wa mgodi walikuwa ndani ya mgodi huo akiwemo raia mmoja wa China wakati uliporomoka. 

No comments

Powered by Blogger.