-->

Header Ads

KESI YA MANJI NA WENZAKE YASOGEZWA MBELE

Kesi ya Mfanyabiashara Yusuf Manji na wenzake watatu imepelekwa mbele tena na imetajwa kusikilizwa tena  Tarehe 9 Agost.

Manji na wenzake walifikishwa kizimbani kwa tuhuma za kukutwa na Sare za nguo za jeshi pamoja na tuhuma nyengine zinazohusu Usalama wa nchi.

No comments

Powered by Blogger.