Katazo la mkuu wa mkoa wa Dar kupiga marufuku CD za movie kutoka nje ya
nchi ili kuinua sokolafilamu nchini limepingwa vikali na machinga wa
Kariakoo wakidai kuwa biashara yao ya kuwaingizia kipato imeathiriwa na
katazo hilo
JIUNGE NASI AKISI TV KILA SIKU KUPATA HABARI ZA UHAKIKA
Nini maoni yako? Weka comment yako hapa,
No comments